Hesabu 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Siku ya mavuno ya kwanza yaliyokomaa,+ mnapomtolea Yehova nafaka iliyotoka kuvunwa+ katika sherehe yenu ya majuma,+ mnapaswa kuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ Hesabu 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Na siku ya kumi ya mwezi huo wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu,+ nanyi mnapaswa kujitesa.* Hampaswi kufanya kazi yoyote.+
26 “‘Siku ya mavuno ya kwanza yaliyokomaa,+ mnapomtolea Yehova nafaka iliyotoka kuvunwa+ katika sherehe yenu ya majuma,+ mnapaswa kuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+
7 “‘Na siku ya kumi ya mwezi huo wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu,+ nanyi mnapaswa kujitesa.* Hampaswi kufanya kazi yoyote.+