Mambo ya Walawi 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+ Mambo ya Walawi 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Siku hiyo mtatangaza+ na kufanya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote ngumu. Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote mahali popote mnapoishi.
16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+
21 Siku hiyo mtatangaza+ na kufanya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote ngumu. Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote mahali popote mnapoishi.