Mambo ya Walawi 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Ifuatayo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu: Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo, mnapaswa kujitesa,* hampaswi kufanya kazi yoyote,+ awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu.
29 “Ifuatayo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu: Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo, mnapaswa kujitesa,* hampaswi kufanya kazi yoyote,+ awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu.