Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Hata hivyo, siku ya kumi ya mwezi huo wa saba ni Siku ya Kufunika Dhambi.+ Mtakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mnapaswa kujitesa*+ na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto. 28 Hampaswi kufanya kazi yoyote siku hiyo kwa sababu ni siku ya kufunika dhambi+ zenu mbele za Yehova Mungu wenu.

  • Hesabu 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Na siku ya kumi ya mwezi huo wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu,+ nanyi mnapaswa kujitesa.* Hampaswi kufanya kazi yoyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki