Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Ifuatayo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu: Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo, mnapaswa kujitesa,* hampaswi kufanya kazi yoyote,+ awe ni mwenyeji au mgeni anayeishi miongoni mwenu. 30 Siku hiyo dhabihu ya kufunika dhambi+ itatolewa kwa ajili yenu ili mtangazwe kuwa safi. Mtasafishwa dhambi zenu zote mbele za Yehova.+

  • Hesabu 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Na siku ya kumi ya mwezi huo wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu,+ nanyi mnapaswa kujitesa.* Hampaswi kufanya kazi yoyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki