-
Waebrania 9:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Kwa maana ikiwa damu ya mbuzi na ya ng’ombe dume+ na majivu ya ndama jike yaliyonyunyizwa juu ya wale ambao wametiwa unajisi hutakasa ili kuusafisha mwili,+ 14 je, damu ya Kristo,+ ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu bila dosari, haitazisafisha hata zaidi dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tumtolee utumishi mtakatifu Mungu aliye hai?+
-
-
Waebrania 10:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 La sivyo, je, dhabihu hazingekoma kutolewa, kwa sababu wale wanaotoa utumishi mtakatifu baada ya kusafishwa mara moja hawangehisi wana dhambi tena?
-