Isaya 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Zungumzeni na moyo wa* Yerusalemu,Na kulitangazia kwamba utumishi wake wa kulazimishwa umetimizwa,Kwamba hatia yake imelipwa.+ Limepokea kutoka mkononi mwa Yehova malipo kamili* kwa ajili ya dhambi zake zote.”+ Zekaria 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Siku hiyo kisima kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu ili kuwasafisha dhambi na uchafu.+
2 “Zungumzeni na moyo wa* Yerusalemu,Na kulitangazia kwamba utumishi wake wa kulazimishwa umetimizwa,Kwamba hatia yake imelipwa.+ Limepokea kutoka mkononi mwa Yehova malipo kamili* kwa ajili ya dhambi zake zote.”+
13 “Siku hiyo kisima kitafunguliwa kwa ajili ya nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu ili kuwasafisha dhambi na uchafu.+