Ezekieli 36:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+ Ezekieli 36:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Nitawaokoa kutokana na uchafu wenu wote na kuiita nafaka na kuifanya iwe tele, nami sitawaletea njaa kali.+
25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+
29 “‘Nitawaokoa kutokana na uchafu wenu wote na kuiita nafaka na kuifanya iwe tele, nami sitawaletea njaa kali.+