Hesabu 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa lakini hajitakasi amechafua hema la Yehova la ibada,+ na ni lazima mtu huyo auawe kutoka katika Israeli.+ Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya kutakasa,+ ataendelea kuwa mchafu. Yeye bado ni mchafu. Zaburi 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nisafishe kutoka katika dhambi yangu kwa hisopo, ili niwe safi;+Nioshe, ili niwe mweupe kuliko theluji.+
13 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa lakini hajitakasi amechafua hema la Yehova la ibada,+ na ni lazima mtu huyo auawe kutoka katika Israeli.+ Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya kutakasa,+ ataendelea kuwa mchafu. Yeye bado ni mchafu.
7 Nisafishe kutoka katika dhambi yangu kwa hisopo, ili niwe safi;+Nioshe, ili niwe mweupe kuliko theluji.+