Mambo ya Walawi 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote, mzao wenu yeyote asiye safi atakayekaribia vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanavitakasa kwa ajili yangu, mimi, Yehova, ataangamizwa kutoka mbele zangu.+ Mimi ni Yehova. Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote, mzao wenu yeyote asiye safi atakayekaribia vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanavitakasa kwa ajili yangu, mimi, Yehova, ataangamizwa kutoka mbele zangu.+ Mimi ni Yehova.
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+