Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usitufanye tuwajibike kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

      Tuonyeshe haraka rehema yako,+

      Kwa maana tumeshushwa chini sana.

       9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako tukufu;

      Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na jirani yake na kila mtu na ndugu yake, wakisema, ‘Mjue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, nami sitaikumbuka tena dhambi yao.”+

  • Yeremia 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawatakasa kutokana na hatia yote ya dhambi walizonitendea,+ nami nitasamehe hatia yote ya dhambi zao na makosa waliyonikosea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki