8 Usitufanye tuwajibike kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+
Tuonyeshe haraka rehema yako,+
Kwa maana tumeshushwa chini sana.
9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+
Kwa ajili ya jina lako tukufu;
Tuokoe na kutusamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+