Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Habakuki 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dunia itajaa ujuzi wa utukufu wa YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+