Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jina lake tukufu na lisifiwe milele,+Na utukufu wake ujae duniani pote.+ Amina na Amina. Isaya 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+ Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+
9 Hawatasababisha madhara yoyote+Wala uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,+Kwa maana kwa hakika dunia itajaa ujuzi kumhusu YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+
9 Na Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote.+ Siku hiyo Yehova atakuwa Mungu pekee,+ na jina lake litakuwa ndilo jina pekee.+