Hesabu 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini, kwa hakika kama niishivyo, dunia yote itajaa utukufu wa Yehova.+ Habakuki 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dunia itajaa ujuzi wa utukufu wa YehovaKama maji yanavyoifunika bahari.+