13 Nami nikasikia kila kiumbe kilicho mbinguni na duniani na chini ya dunia+ na baharini, na vitu vyote vilivyo ndani yake, vikisema: “Yule anayeketi kwenye kile kiti cha ufalme+ na Mwanakondoo+ na wawe na baraka na heshima+ na utukufu na nguvu milele na milele.”+