6 “Kisha Haruni atamtoa yule ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, naye atatoa dhabihu ya kufunika dhambi zake mwenyewe+ na za nyumba yake.
15 “Kisha atamchinja yule mbuzi wa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya watu+ na kuleta damu yake nyuma ya pazia,+ atafanya kama alivyofanya na damu+ ya yule ng’ombe dume; atainyunyiza kuelekea hicho kifuniko na mbele ya hicho kifuniko.