13 huku tukingojea tumaini lenye furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Yesu Kristo, 14 aliyejitoa kwa ajili yetu+ ili atuweke huru+ kutoka katika kila namna ya uasi sheria na kujisafishia watu walio mali yake ya pekee, wenye bidii katika matendo mema.+