10 Sisi ni kazi ya mikono* ya Mungu na tuliumbwa+ katika muungano na Kristo Yesu+ kwa ajili ya matendo mema, ambayo Mungu aliamua awali ili tutembee katika hayo.
14 je, damu ya Kristo,+ ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa mwenyewe kwa Mungu bila dosari, haitazisafisha hata zaidi dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tumtolee utumishi mtakatifu Mungu aliye hai?+