7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.
13 Alituokoa kutoka kwenye mamlaka ya giza+ na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa, 14 ambaye kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa fidia, kusamehewa dhambi zetu.+