16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya Pasaka kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba+ ilikuwa imefika,+ Yesu akiwa amewapenda walio wake ulimwenguni, aliwapenda mpaka mwisho.+