7 Kwa maana ni vigumu kwa yeyote kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; hata hivyo labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema. 8 Lakini Mungu hupendekeza upendo wake kwetu kwa kuwa tulipokuwa bado watenda dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.+
5Kwa hiyo, iweni waigaji wa Mungu,+ kama watoto wapendwa, 2 na mwendelee kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyotupenda sisi*+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yetu* kuwa toleo na dhabihu yenye harufu tamu kwa Mungu.+