15 “‘Mnapaswa kuhesabu sabato saba kuanzia siku inayofuata siku ya Sabato, siku mnayotoa tita la toleo la kutikiswa.+ Yanapaswa kuwa majuma kamili. 16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+