Kutoka 34:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nanyi mtafanya Sherehe yenu ya Majuma kwa kutumia mavuno ya kwanza ya ngano iliyokomaa, na pia Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka.+ Kumbukumbu la Torati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha mtafanya Sherehe ya Majuma kwa Yehova Mungu wenu+ kwa toleo la hiari linalotoka mkononi mwenu, kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amewapa.+ Matendo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale.
22 “Nanyi mtafanya Sherehe yenu ya Majuma kwa kutumia mavuno ya kwanza ya ngano iliyokomaa, na pia Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka.+
10 Kisha mtafanya Sherehe ya Majuma kwa Yehova Mungu wenu+ kwa toleo la hiari linalotoka mkononi mwenu, kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amewapa.+