Kutoka 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+ Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya 15 ya mwezi huo wa saba mtamfanyia Yehova Sherehe ya Vibanda* kwa siku saba.+
16 Pia, unapaswa kuadhimisha Sherehe ya Mavuno* ya matunda ya kwanza yaliyoiva* ya kazi zako, na ya vitu unavyopanda shambani;+ na Sherehe ya Kukusanya* mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mazao ya kazi zako.+
34 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya 15 ya mwezi huo wa saba mtamfanyia Yehova Sherehe ya Vibanda* kwa siku saba.+