Waroma 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Ufalme wa Mungu haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu. 1 Wakorintho 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini chakula hakitafanya tumkaribie zaidi Mungu;+ hatupotezi chochote tusipokula, wala hatuongezi chochote tunapokula.+ Wakolosai 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa+ au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya+ au sabato.+
17 Kwa maana Ufalme wa Mungu haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu.
8 Lakini chakula hakitafanya tumkaribie zaidi Mungu;+ hatupotezi chochote tusipokula, wala hatuongezi chochote tunapokula.+
16 Kwa hiyo, msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa+ au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya+ au sabato.+