23 Mambo yote yaliyoagizwa+ na Mungu wa mbinguni na yafanywe kwa bidii+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu isije juu ya utawala wa mfalme na wanawe.+
2 kwa ajili ya wafalme+ na wale wote walio katika cheo cha juu;+ ili tuendelee kuishi maisha shwari na matulivu pamoja na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+