Waefeso 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 si kwa njia ya utumishi wa macho kama wanavyofanya wale wanaowapendeza wanadamu,+ bali kama watumwa wa Kristo, mkiyafanya mapenzi ya Mungu kwa nafsi yote.+ Wakolosai 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi yote+ kama kwa Yehova,+ na si kama kwa wanadamu,
6 si kwa njia ya utumishi wa macho kama wanavyofanya wale wanaowapendeza wanadamu,+ bali kama watumwa wa Kristo, mkiyafanya mapenzi ya Mungu kwa nafsi yote.+