Wakolosai 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+
22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+