5 Enyi watumwa, watiini wale ambao ni mabwana wenu katika maana ya kimwili,+ kwa kuogopa na kutetemeka+ katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,
18 Watumishi wa nyumbani na wajitiishe+ kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale walio wema tu na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.