6Wale wote walio watumwa chini ya nira na waendelee kuwaona mabwana wao kuwa wenye kustahili heshima kamili,+ ili jina la Mungu na fundisho lisisemwe vibaya kamwe.+
18 Watumishi wa nyumbani na wajitiishe+ kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale walio wema tu na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.