Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa. Tito 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+ 1 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa
24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.
5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+
13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa