Yakobo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+ 1 Petro 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo+ wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa.
17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+
2 kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo+ wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa.