Mwanzo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+ 1 Wakorintho 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wanawake na wakae kimya+ katika makutaniko, kwa maana hairuhusiwi kwao kusema, bali na wajitiishe,+ kama Sheria+ inavyosema.
16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+
34 wanawake na wakae kimya+ katika makutaniko, kwa maana hairuhusiwi kwao kusema, bali na wajitiishe,+ kama Sheria+ inavyosema.