6Wale wote walio watumwa chini ya nira na waendelee kuwaona mabwana wao kuwa wenye kustahili heshima kamili,+ ili jina la Mungu na fundisho lisisemwe vibaya kamwe.+
15 Fanya kabisa yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa,+ mfanyakazi+ asiye na lolote la kuonea aibu,+ ukilitumia sawasawa neno la kweli.+