7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.
5 Enyi watumwa, watiini wale ambao ni mabwana wenu katika maana ya kimwili,+ kwa kuogopa na kutetemeka+ katika unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,
22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+