Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 124:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Msaada wetu uko katika jina la Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.”+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova, Muumba wa mbingu,+ Yeye Mungu wa kweli,+ Mfanyizaji wa dunia na Mtengenezaji wake,+ Yeye aliyeifanya imara,+ ambaye hakuiumba tu bila sababu, ambaye aliiumba ili ikaliwe na watu,+ amesema hivi: “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.+

  • Yona 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo akawaambia: “Mimi ni Mwebrania,+ nami namwogopa+ Yehova Mungu wa mbinguni,+ Yeye aliyeifanya bahari na nchi kavu.”+

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki