Zaburi 103:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova amekifanya imara kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake mwenyewe umetawala juu ya kila kitu.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+ Zaburi 136:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+
19 Yehova amekifanya imara kiti chake cha ufalme mbinguni;+Nao ufalme wake mwenyewe umetawala juu ya kila kitu.+
26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+