Mwanzo 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.” Mwanzo 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Mungu akambariki Noa na wanawe, akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, mjaze dunia.+ Zaburi 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia,+Nao watakaa milele juu yake.+ Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+
28 Mungu akawabariki+ na Mungu akawaambia: “Zaeni,+ muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha,+ na mtawale+ samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.”