1 Mambo ya Nyakati 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na Shelomithi alikuwa dada yao); Ezra 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wale waliokuja pamoja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Seraya,+ Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigvai, Rehumu, Baana. Hesabu ya wanaume wa watu wa Israeli:
19 Na wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na Shelomithi alikuwa dada yao);
2 wale waliokuja pamoja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Seraya,+ Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigvai, Rehumu, Baana. Hesabu ya wanaume wa watu wa Israeli: