Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa na kuviweka chini ya Mithredathi mweka-hazina na kuvihesabu na kumpa Sheshbazari+ mkuu wa Yuda.+

  • Ezra 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.

  • Hagai 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Tafadhali, mwambie Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na mabaki ya watu, ukisema,

  • Hagai 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Lakini sasa, uwe na nguvu, Ee Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘na uwe na nguvu,+ Ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.’

      “ ‘Nanyi iweni na nguvu, ninyi nyote watu wa nchi,’ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’+

      “ ‘Kwa maana nipo pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Zekaria 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Mathayo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baada ya ule uhamisho wa kwenda Babiloni Yekonia akamzaa Shealtieli;+

      Shealtieli akamzaa Zerubabeli;+

  • Luka 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 mwana wa Yoanani,

      mwana wa Resa,

      mwana wa Zerubabeli,+

      mwana wa Shealtieli,+

      mwana wa Neri,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki