Zekaria 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “ ‘Tafadhali sikia, Ee Yoshua kuhani mkuu, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wao ni watu wanaotumika kuwa ishara;+ kwa maana, tazama, mimi namleta ndani Chipukizi+ mtumishi wangu!+ Zekaria 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji la fahari,+ uliweke juu ya kichwa cha Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.
8 “ ‘Tafadhali sikia, Ee Yoshua kuhani mkuu, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wao ni watu wanaotumika kuwa ishara;+ kwa maana, tazama, mimi namleta ndani Chipukizi+ mtumishi wangu!+
11 Nawe uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji la fahari,+ uliweke juu ya kichwa cha Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.