14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+
7 Wewe ni nani, Ee mlima mkubwa?+ Utakuwa nchi tambarare mbele ya Zerubabeli.+ Naye ataleta jiwe la juu kabisa.+ Nalo litapaaziwa sauti:+ “Linavutia kama nini! Linavutia kama nini!” ’ ”+