Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na pia vyombo vya dhahabu na fedha+ vya nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka katika hekalu, lililokuwa Yerusalemu, na kuvileta katika hekalu la Babiloni,+ Mfalme+ Koreshi alivitoa katika hekalu la Babiloni, vikapewa mtu anayeitwa Sheshbazari,+ aliyemfanya kuwa gavana.+

  • Ezra 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huyo Sheshbazari alipokuja, aliweka misingi ya nyumba ya Mungu,+ iliyoko Yerusalemu; na tangu wakati huo mpaka sasa inajengwa lakini haijamalizika.’+

  • Hagai 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario,+ mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova lilikuja kupitia nabii Hagai+ kwa ajili ya Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na kwa ajili ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na kusema:

  • Hagai 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mwambie Zerubabeli gavana wa Yuda,+ ‘Nitazitikisa mbingu na dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki