10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.
18 “ ‘Kuanzia leo na kuendelea, tafadhali wekeni moyo wenu+ juu ya hili, kutoka siku ya 24 ya mwezi wa 9, kuanzia siku ambayo msingi wa hekalu la Yehova uliwekwa.+ Wekeni moyo wenu juu ya hili:
9 “Mikono ya Zerubabeli ndiyo imeweka msingi wa nyumba hii,+ na mikono yake mwenyewe itaikamilisha.+ Nanyi mtajua ya kuwa Yehova wa majeshi amenituma kwenu ninyi.+