2 Ndipo Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki wakasimama na kuanza kujenga upya nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; na manabii+ wa Mungu walikuwa pamoja nao kuwapa msaada.
9 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Mikono yenu na iwe na nguvu,+ ninyi ambao siku hizi mnayasikia maneno haya kutoka katika kinywa cha manabii,+ katika siku ulipowekwa msingi wa nyumba ya Yehova wa majeshi, ili hekalu lijengwe.+