10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.
16 Wakati huyo Sheshbazari alipokuja, aliweka misingi ya nyumba ya Mungu,+ iliyoko Yerusalemu; na tangu wakati huo mpaka sasa inajengwa lakini haijamalizika.’+