Ezra 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Sheshbazari akaja, akaweka misingi ya nyumba ya Mungu,+ iliyo Yerusalemu; na tangu wakati huo mpaka leo inaendelea kujengwa lakini haijamalizika.’+
16 Ndipo Sheshbazari akaja, akaweka misingi ya nyumba ya Mungu,+ iliyo Yerusalemu; na tangu wakati huo mpaka leo inaendelea kujengwa lakini haijamalizika.’+