Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wajenzi walipoweka msingi wa hekalu la Yehova,+ makuhani waliovaa mavazi rasmi, wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi, wana wa Asafu, wakiwa na matoazi, wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na maagizo ya Mfalme Daudi wa Israeli.+

  • Hagai 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Tafadhali, kazeni moyo wenu juu ya* jambo hili kuanzia leo na kuendelea, kuanzia siku ya 24 ya mwezi wa 9, kuanzia siku ambayo msingi wa hekalu la Yehova uliwekwa;+ kazeni moyo wenu juu ya jambo hili:

  • Zekaria 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mikono ya Zerubabeli imeweka msingi wa nyumba hii,+ na mikono yake mwenyewe itaikamilisha.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki