Ezra 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.
10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.