14 Nao wazee wa Wayahudi wakaendelea kujenga na kufanya maendeleo,+ wakitiwa moyo na nabii Hagai+ na Zekaria+ mjukuu wa Ido; wakamaliza kujenga kulingana na agizo la Mungu wa Israeli+ na agizo la Koreshi,+ Dario,+ na Mfalme Artashasta+ wa Uajemi.
“‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+